This page is a translated version of the page ContribuLing 2023 and the translation is 75% complete.

Wasilisho

 

Karibu nusu ya lugha zinazozungumzwa duniani zinasemekana kuwa duni au hatari ya kushambuliwa na UNESCO.Hata hivyo, moja ya sababu kuu katika kuamua maisha ya lugha ni uwepo wa zana yake inayotumiwa katika maisha ya kila siku.zana za utambuzi sauti, injini za utafutaji n.k. Ukuzaji wa zana hizi unahitaji uwekaji mkubwa wa data za lugha (kama vile lexicons, kamusi, hotuba na kampuni za maandishi, ontolojia n.k.) ambazo kwa upande mwingine inahusisha mchango wa wasemaji. Miradi mingi imeanzishwa katika miaka ya hivi karibuni ili kuwezesha mchango huo na miradi mingi kati ya hiyo ilianzishwa katika matoleo yaliyotangulia ya ContribuhLing. Baadhi ya masuala haya hutokea kama matokeo ya kuwepo kwa majukwaa haya.

  • Ni mikakati gani inapaswa kuchukuliwa ili kuhamasisha mchango wa kazi kutoka kwa wasemaji?
  • Je, ni kwa jinsi gani tunaweza kutumia takwimu zilizokusanywa kuunda zana ambazo zinabadilisha mahitaji ya jamii za wazungumzaji?

Tukio

Toleo la mwaka 2023 kwenye mkutano wa ContribubuLing, unasimamiwa na INALCO,wikimedia Ufaransa na BULAC. Mkutano huu utafanyika Mei 12th 2023 mtandaoni huko Paris (Ufaransa). Mkutano huu wa tatu utahimiza mapendekezo yanayozingatia masuala mazima ya mbinu ya uchangiaji. Huku tukiwa wazi kupokea pendekezo lolote linalolenga kuimarisha uwepo lugha

Registration form

To attend this conference, please fill in this form.

Kamati ya Maandalizi

  • Adélaïde Calais (Wikimédia France)
  • Johanna Cordova (Inalco / ERTIM / Sorbonne Université)
  • Nonhouegnon Letchede (Idemi Africa)
  • Pierre Magistry (Inalco / ERTIM)
  • Damien Nouvel (Inalco / ERTIM)
  • Tristan Pertegal (BULAC)
  • Juliette Pinçon (BULAC)
  • Lucas Prégaldiny (Wikimédia France / Lingua Libre)
  • Jhonnatan Rangel Murueta (CNRS, Inalco / Sedyl)
  • Anass Sedrati (Wikimedia MA)
  • Bastien Sepúlveda (Inalco)
  • Emma Vadillo Quesada
  • Ilaine Wang (Inalco / ERTIM)

Washirika

See also