Translations:Fundraising 2012/Translation/Isaac appeal/3/sw
Maarifa ni ya kila mtu, hata wale ambao hawana uelewa/uwezo wa kutumia mtandao wa intaneti. Siku hizi, shule nyingi nchini Kenya zina tarakilishi. Lakini nyingi bado hazina intaneti, sana sana maeneo ya vijijini katika nchi yangu.